Sunday 22 February 2015

CHADEMA YATIKISA SUMBAWANGA


 

Kati ya mitaa 44 ya sumbawanga mjini chadema mpaka sasa imetangazwa ushindi kwenye mitaa 34 huu ulikuwa ni marudio ya uchaguzi... kwa mahesabu zaidi ya mji mdogo huwo wa sumbawanga nawaachia ccm wapige mahesabu.
Kinachoendelea sumbawanga sasa....
Uchaguzi Mitaa 44 Ya Kata 3 Sumbawanga Mjini Leo Tar 22.02 CCM INA MITAA 4 PAMOJA NA 1 WALOWEKA PINGAMIZI, CHADEMA INA MITAA 39...

No comments:

Post a Comment