Friday 20 February 2015

Rais Jakaya Kikwete akabidhiwa rungu la Afrika Mashariki,,,,, Jijini Nairobi

 



Marais Wa Afrika Mashariki Kutoka Kushoto Ni Mh.Pierre Ngurunzinza Wa Burundi,Mh.Jakaya Mrisho Kikwete Wa Tanzania, Mh.Uhuru Muigai Kenyatta Wa Kenya, Mh.Yoheri Museven Wa Uganda na Paul Kagame Wa Rwanda Leo Hii Jijini Nairobi

 

 Rais Paul Kagame Na Hasimu Wake Rais Kikwete Na Mwenyeji Wa Rais Uhuru Wa Kenyatta Kabla ya kikao


Rais Wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta Akimkabidhi Rais Wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete Uwenyekiti wa Jumuia ya Afrika mashariki Leo Hii Jijini Nairobi.

 

Mh.Uhuru Kenyatta akimpokea Mh Kikwete Jijini Nairobi

 

 Rais Wa Kenya Uhuru Akimpokea Rais Wa Uganda Mh. Mseven

 

 Baadhi ya Marais Wa Jumuiaya ya Afrika Mashariki Wakiwa pamoja na makamu wa Rais wa Kenya Mh.Ruto Kabla ya Mkutano

 

 Rais Uhuru Na Pierre Ngurunzinza Wakisalimiana

 
 Rais Uhuru Kenyatta Wakisalimiana na Paul Kagame


Picha kwa hisani ya Nombees toka Nairobi

No comments:

Post a Comment