Sunday 22 February 2015

GABRIEL MWANG'ONDA NA UCHAMBUZI WA KIUCHUMI SEKTA YA MAFUTA TANZANIA

 



In Tanzania edible oil is the second most expensive commodity that we import after refined petroleum products.
Our balance of payments is not in a good shape because of these two products,Leave alone petroleum products which we might,(just incase we find any) do away with.
Sasa kwa hili la palm oil (mawese) sioni ni wapi tunakwama mpaka tunashindwa kujitosheleza. Mawese Ya Kigoma kwa akina Zitto Kabwe na kwetu kule Kyela yakilimwa kwa ustadi na utaalamu tutaondokana na tatizo kubwa la ajira,tutabakiza fedha zetu nchini,ulali wa biashara za nje utaimarika,serikali itapata fedha nyingi tu kwa njia Ya kodi.
Uthibiti uliopo kwenye sekta Ya sukari basi uwepo hata huku,uwezo tunao lakini sera nazo inafaa ziwe na upendeleo kwetu ili tulime kisasa na kuhakikishiwa soko la ndani na nje.
Mahitaji ni MT-350k kwa mwaka hii ni biashara kubwa kabisa nchini na ku export kabisa,sasa tumebaki kuinunua toka mbali sana..hii product inaweza Kabisa ikawa ni chanzo Cha forex-inawezekana timiza wajibu wako.
Ni ndoto kama ningekua Magogoni
GM

No comments:

Post a Comment